Podcasts by Category
- 825 - Kila Ijumaa ni fasi yako mskilizaji kuchangia mada ndani ya rfi Kiswahili
Kila siku ya Ijumaa rfi Kiswahili inakupa mskilizaji nafasi ya changai mada yoyote ambayo unapenda, liwe jambo linalofanyika hapo ulipo au yale umeskia katika taarifa wetu.
Juma hili pamekuwa na matokeo mengi tu, katika ulingo wa siasan michezo, biashara, usalama na hata mazingira.
Hii hapa baadhi ya micango yenu.
Sat, 18 May 2024 - 824 - Je mataifa tajiri yanaweza saidia mataifa maskini kupambana na
Wiki hii Paris, ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa Kimataifa kujadili namna ya kuyasaidia mataifa masikini hasa barani Afrika, kufikia malengo ya kukumbatia nishati safi ya kupikia na kuachana na mkaa na kuni.
Ufaransa, imeahidi kutoa Euro Milioni 100 kusaidia kufikia malengo hayo ndani ya miaka mitano ijayo.
Unaamini mataifa tajiri yatasaidia Afrika katika hili ?
Serikali ya nchi yako inafanya nini kukumbatia matumizi ya nishati safi kama gesi ?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Thu, 16 May 2024 - 823 - Somalia : Yataka ujumbe wa umoja wa mataifa wa kisiasa kuondoka
Serikali ya Somalia imeandikia bazara la usalama la umoja wa mataifa ikitaka ujumbe wa umoja huo ambao umekuwa ukisaidia serikali katika maswala ya kisiasa na usalma kuondoka.
Hakuna sababu maalumu zilizotolewa na serikali ya Somalia, hapa tunakuuliza je ni sahihi kwa ujumbe huu wa umoja wa mataifa kuondoka kipindi hiki nchi hiyo ikizidi kupitia changamoto za kiusalama?
Haya hapa baadhi ya maoni yako.
Wed, 15 May 2024 - 822 - Ujuzi au vyeti, serikali ya Kenya inawasaka wafanyakazi waliotumia vyeti ghushi kupata ajiraTue, 14 May 2024
- 821 - Nini mchango wa masharika ya kirai katika mataifa yetu ya Africa
Kongamano la kwanza la mashirika ya kiraia la Umoja wa Mataifa limekamilika jijini Nairobi wiki iliyopita, huku wito wa mazungumzo ya uwazi na ukweli kati ya serikali na mashirika hayo ukisisitizwa.
Upi mchango wa mashirika ya kiraia kwenye nchi zetu?
Unadhani yamefanya vya kutosha kuzisaidia jamii na kuchochea maendeleo?
Kipi zaidi kifanyike kuboresha uhusiano kati yake na Serikali?
Ski makala
Mon, 13 May 2024 - 820 - Maoni ya waskilizaji kuhusu mafuriko yanayo zikumba nchi za Afrika mashariki
Mafuriko yanashuhudiwa kwenye nchi za Afrika Mashariki, mamia ya watu wakiripotiwa kufariki, nyumba na miundombinu ikiharibiwa.
Nchi za Kenya na Tanzania zimeathirika pakubwa na mafuriko haya. Unazungumziaje miakakati inayochukuliwa kuzuia madhara zaidi?
Hali ikoje nchini mwako?
Unachukua tahadhari zipi binafsi kujilinda?
Tue, 07 May 2024 - 819 - Maoni ya msikilizaji kuhusu yaliojiri nchi mwake wiki hiiTue, 07 May 2024
- 816 - Je siku ya wafanyikazi duniani ina maana gani kwa msikilizajiFri, 03 May 2024
- 815 - Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopoTue, 30 Apr 2024
- 814 - Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika MasharikiTue, 30 Apr 2024
- 813 - Sikiliza maoni yako kwenye makala Habari Rafiki Mada huruFri, 26 Apr 2024
- 812 - Ongezeko la matukio ya kigaidi katika nchi mbalimbali barani Afrika inatia hofuThu, 25 Apr 2024
- 811 - Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikaliWed, 24 Apr 2024
- 810 - Marekani kupendekeza suluhu kuhusu mzozo wa mashariki mwa DRC kwa njia ya mazungumzoTue, 23 Apr 2024
- 809 - Wito wa msaada w akibinadamu kwa mamilioni ya raia wa mashiriki mwa DRCTue, 23 Apr 2024
- 808 - Maoni yako kwenye mada huru makala habari rafikiFri, 29 Mar 2024
- 807 - Mgombea wa upinzani Bassirou Diomaye Faye mwenye umri wa miaka 44 ashinda uchaguzi nchini SenegalWed, 27 Mar 2024
- 806 - Mgomo wa madaktari nchini Kenya, na sekta ya afya katika mataifa ya Afrika.
Kwa karibu wiki mbili sasa, madaktari nchini Kenya wamekuwa kwenye mgomo kulalamikia mazingira ya kazi na kushinikiza kuajiriwa kwa madaktari zaidi.
Hali kama hii ya mgomo pia ikishuhudiwa katika miezi ya hivi karibuni nchini Nigeria.
Hali katika sekta ya afya nchini mwako ikoje?
Serikali za Afrika zifanye nini kuepusha migomo kwenye sekta ya afya?
Tue, 26 Mar 2024 - 805 - Viongozi wa jumuiya ya SADC wakubaliana kuendelea kuisaidia DRCTue, 26 Mar 2024
- 804 - Hatua ya Gambia kuondoa marufuku ya ukeketaji wa wanawake na wasichanaWed, 20 Mar 2024
- 803 - DRC yarejesha adhabu ya kifo ikiwalenga wahainiWed, 20 Mar 2024
- 802 - Rais wa Rwanda Paul Kagame na Felix Tshisekedi kukutana kwa mashartiWed, 20 Mar 2024
- 801 - Kila Ijumaa ni nafasi kuchangia mada ndani ya rfi KiswahiliFri, 15 Mar 2024
- 800 - Kenya : Yasitisha mpango wa kutuma polisi HaitiWed, 13 Mar 2024
Podcasts similar to Habari RFI-Ki
- El Partidazo de COPE COPE
- Herrera en COPE COPE
- The Dan Bongino Show Cumulus Podcast Network | Dan Bongino
- Es la Mañana de Federico esRadio
- La Noche de Dieter esRadio
- Dateline NBC NBC News
- 財經一路發 News98
- La rosa de los vientos OndaCero
- Más de uno OndaCero
- La Zanzara Radio 24
- L'Heure Du Crime RTL
- El Larguero SER Podcast
- Nadie Sabe Nada SER Podcast
- SER Historia SER Podcast
- Todo Concostrina SER Podcast
- 安住紳一郎の日曜天国 TBS RADIO
- TED Talks Daily TED
- アンガールズのジャンピン[オールナイトニッポンPODCAST] ニッポン放送
- 辛坊治郎 ズーム そこまで言うか! ニッポン放送
- 飯田浩司のOK! Cozy up! Podcast ニッポン放送
- 吳淡如人生實用商學院 吳淡如
- 武田鉄矢・今朝の三枚おろし 文化放送PodcastQR
Other News & Politics Podcasts
- Les Grosses Têtes RTL
- Hondelatte Raconte - Christophe Hondelatte Europe 1
- L'œil de Philippe Caverivière RTL
- Laurent Gerra RTL
- C dans l'air France Télévisions
- Enquêtes criminelles RTL
- Bercoff dans tous ses états Sud Radio
- L’heure du crime : les archives de Jacques Pradel RTL
- Hondelatte Raconte - Cote B Europe 1
- Les récits de Stéphane Bern Europe 1
- Lenglet-Co and You RTL
- Global News Podcast BBC World Service
- Apolline Matin RMC
- L'Heure des Pros CNEWS
- Gaspard Proust - Les signatures d'Europe 1 Europe 1
- C ce soir France Télévisions
- LEGEND Guillaume Pley
- RTL Matin RTL
- Face à Philippe de Villiers Europe1
- Pascal Praud et vous Europe 1